Wednesday, 7 February 2018

ALIYEMUAPISHA ODINGA YAMKUTA MAZITO

Miguna na Odinga. MWANASHERIA maarufu wa nchini Kenya Miguna Miguna aliyemuapisha Raila Odinga, amefukuzwa nchini Kenya (deported) na kupelekwa Canada, chini ya uangalizi wa serikali. Taarifa kutoka Kenya ambazo zimethibitishwa na mwanasheria wake zinasma kwamba...
Share:

RIHANNA ATIKISA SENEGAL

Msanii maarufu duniani wa muziki wa Pop Robyn Rihanna Fenty maarufu kama Rihanna, amewasili nchini Senegal licha ya watu wa dini nchini humo kupinga ujio wake, wakimtuhumu kuwa ni mwanachama wa Iluminati (Freemason). Akiwa nchini Senegal sambamba na Rais wa Ufaransa...
Share:

Friday, 12 January 2018

MANENO YA MPOKI BAADA YA KUONA STUDIO ZA WCB

Mchekeshaji wa kundi la original comedy Mpoki ameamua kufanya utani kuhusiana na headquaters mpya za WCB baada ya kufanya vice versa na kile alichokipost Diamond Platnumz kwa kuonesha nyumba ya udongo katika page yake ya instagram...
Share:

UVCCM: INAWEZEKANA TUSIFANYE KAMPENI 2020

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Kheri James amesema kuwa CCM haina sababu ya kufanya kampeni katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 badala yake kuna kila sababu ya kupita bila kupingwa kutokana na uimara...
Share:

DIAMOND NA HARMONIZE WADHIHIRISHIA UMMA UJIO WA REDIO YAO

Baada ya kutuonesha mjengo mpya ambapo ndio zitakuwa ofisi za radio ya Wasafi FM na Wasafi Tv  sasa CEO wa WCB Diamond Platnumz  leo January 12, 2018 amepost picha inayomuonesha yuko na Harmonize huku nyuma yao kukiwa na...
Share:

Tuesday, 28 November 2017

BEYONCE 'NDANI' HARUSI YA BALE

Gareth Bale na mpenzi wake. NYOTA wa soka wa klabu ya Real Madrid ya Hispania na timu ya taifa ya Wales, Uingereza, Gareth Bale, ameripotiwa kumtaka staa wa muziki Mmarekani, Beyonce, kutumbuiza siku ya harusi yake mwaka kesho. Hata hivyo, itambidi Bale zimtoke Paundi...
Share:

Huu ndiyo mshahara anaopewa Mugabe kwa mwezi

Robert Mugabe alijiuzulu Novemba 21 baada ya kuahidiwa kinga ya kutoshtakiwa, kulipwa dola za Marekani 10 milioni kwa mkupuo, mshahara wa kila mwezi, matibabu, usalama wake pamoja na ulinzi wa mali zake, gazeti la Independent limeandika. Uchunguzi uliofanywa na...
Share:

Trioni 1.8 kumuondoa Mess Barcelona

...
Share:

Monday, 13 November 2017

MWALIMU ATUPWA JELA KWA KOSA LA KUMTUMIA PICHA ZA UTUPU MWANAFUNZI WAKE

Mwalimu wa somo la Mapishi katika shule ya Sekondari ya St. Charles High School mjini Maryland nchini Marekani amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumtongoza na kumtumia picha za utupu mwanafunzi wake wa kiume mwenye umri wa miaka 17. Kwa mujibu...
Share:

POLE YA MAKONDA KWA LULU YAZUA MTAFARUKU

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo ameposti kupitia account yake ya Instagram ujumbe wa kumpa moyo mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya Mahakama Kuu kumhukumu kwenda jela kwa miaka miwili ...
Share:

Ads

Blog Archive