Tuesday 28 November 2017

Trioni 1.8 kumuondoa Mess Barcelona


Mshambuliaji wa FC Barcelona ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi hivi karibuni ameripotiwa kuamua kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kusalia FC Barcelona.

Barcelona ni timu ambayo imemlea Lionel Messi toka akiwa katika kituo cha kukuzia vipaji cha Barcelona kinachojulikana kwa jina la La Masia.

Messi ameamua kuongeza mkataba mpya na FC Barcelona utakaomuweka Nou Camp hadi mwaka 2021 kubwa lililochukua headlines katika mkataba wa Lionel na kuzua mijadala ni kipengele kilichopo katika mkataba wake, kama kuna club itakayofikiria kumuondoa Lionel Messi FC Barcelona kama PSG walivyofanya kwa Neymar.

Watahitaji kutoa dau la pound milioni 626 ambazo ni zaidi ya Tsh Trioni 1.8, Lionel Messi hadi anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia FC Barcelona, alikuwa ameichezea game 602, akifunga jumla ya magoli 523 na ametwaa mataji 30 akiwa na FC Barcelona na bado historia inaendelea hadi 2021.
Share:

1 comment:

  1. CasinoRatos™ Review
    CasinoRatos is kadangpintar a top provider of 블랙벳 top-quality slots for all ages, 저녁 메뉴 추천 룰렛 offering a diverse gaming 임요환 포커 experience. It operates on a standard 3-reel, 원주 립 카페 3-row, and

    ReplyDelete

Ads

Blog Archive