Monday 2 January 2017

HUYU HAPA BABU MWENYE MIAKA 70 ALIEVUTA GARI KWA SHINGO


Katika hali ya kawaida si nadra kumkuta mzee wa miaka zaidi ya 70 akiwa na nguvu kiasi hata cha kubeba ndoo moja tu ya maji , sasa leo nimeipata ya babu wa miaka 77 kutoka mji wa Akwa Ibom, Nigeria ambaye ana uwezo wa kuvuta gari kwa kutumia shingo yake.
Babu huyo amefahamika kwa jina la Sampson, ila yeye anataka afahamike kwa jina la African Superman, ana uwezo pia wa kuweka mkono wake juu na wanaume 10 wakabembea bila kuushusha mkono wake chini. Pia ana uwezo wa kutafuna chupa, kuvuta gari kwa kutumia meno, na hata wanaume 15 wenye nguvu wakijaribu kuvutana naye, hujikuta wakishindwa.
meet-the-77-years-old-strongest-man-in-akwa-ibom-photos-2 meet-the-77-years-old-strongest-man-in-akwa-ibom-photos-3 meet-the-77-years-old-strongest-man-in-akwa-ibom-photos-4 meet-the-77-years-old-strongest-man-in-akwa-ibom-photos-5 meet-the-77-years-old-strongest-man-in-akwa-ibom-photos-6 meet-the-77-years-old-strongest-man-in-akwa-ibom-photos-7
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive