Monday 2 January 2017

HIZI HAPA PICHA JINSI OSCAR ALIVYOPOKELEWA NA TIMU YA SHANGHAI SIPG


Jumatatu ya January 2 2017 aliyekuwa kiungo wa Chelsea ya England raia wa Brazil Oscar aliwasili katika timu ya Shanghai SIPG ya China iliyomsajili kwa dau la pound milioni 52.
3bc5b71600000578-4081280-image-a-2_1483347828987
Oscar ambaye atakuwa akilipwa mshahara wa pound 400,000 kwa wiki aliwasilia ShanghaiPudong Airport na kupokelewa na mashabiki wa timu hiyo sambamba na vyombo vya habari.
3bc5e50400000578-4081280-image-a-4_1483347851351
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive