Sunday 8 October 2017

PROF TIBAIJUKA ATOA CHANGAMOTO ANAZOPATA BAADA YA RUGEMALIRA KUWA MATATIZONI

Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka amebainisha namna wanavyokabiliwa na changamoto katika uendeshaji wa Shule ya Wasichana ya Kajumulo Alexander iliyopo Bukoba baada ya mmoja wa wafadhili wa shule hiyo James Rugemalira kuwa matatizoni.
Prof. Tibaijuka amesema hakuanzisha shule kibiashara badala yake alijitoa kwa ajili ya kuwasaidia wasichana na kuwainua kielimu ndio maana anajitoa kwa kile alichonacho kuwasaidia watoto hao kwa kushirikiana na wafadhili wake huku akisema kuwa kwa sasa amebaki mwenyewe katika kuchangia baada ya mfadhili wake mkubwa James Rugemalira kushikiliwa na Polisi.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive