Sunday 8 October 2017

INIESTA ASAINI MKATABA WA MAISHA BARCELONA


Kiungo na nyota machachari wa klabu ya FC Barcelona Andres Iniesta  ameongeza mkataba wake na timu hiyo maisha yake yote.

Timu hiyo ya Catalonia imetangaza Ijumaa katika jarida lake rasmi kuwa imeafikiana na Iniesta kusalia katika timu hiyo maisha yake yote.
Jarida hilo lilifahamisha kuwa kiongozi wa timu hiyo Josep Maria Bartomeu alishiriki katika hafla ilioandaliwa kwa ajili ya kutia saini kuhusu mkataba huo.

Iniesta alijuanga na timu ya Barcelona Oktoba 29 mwaka 2002.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive