Friday 29 September 2017

HIKI NDICHO KIMEFANYA GAZETI LA RAIA MWEMA LIFUNGIWE


LEO serikali imelifungia gazeti la Raia Mwema kwa kile kilichodaiwa kuwa limeandika taarifa zisizo za kweli kumuhusu Rais John Magufuli.
 

Kupitia taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Habari Maelezo, Dkt. Hassan Abbas, ilidai kuwa gazeti hilo la kila wiki lilishindwa kupeleka uthibitisho wa taarifa hiyo.
 
 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive