Sunday 13 August 2017

MZEE KILOMONI ASIMAMISHWA UANACHAMA AFUTWA UONGOZI SIMBA


Aliyekuwa mdhamini wa Simba, Hamisi Kilomani.
Klabu ya Simba imetangaza kumtoa mzee Hamisi Kilomani kwenye Baraza la Wadhamini kwa kosa la kuvunja katiba ya klabu hiyo.

Pia, wanatarajia kumpekelea barua ya kumfuta uanachama na ikiwa hatafuta kesi na kushindwa kujitetea watamfukuza uanachama moja kwa moja.

Aidha, profesa Juma Kapuya ameteuliwa kuziba pengo la Ally Sykes ambaye kwa sasa ni marehemu katika baraza hilo, nafasi ya mzee Kilomoni imejazwa na Mkuu wa wilaya ya Kilosa, Alhaj Adam Mgoyi.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive