Friday 18 August 2017

LWANDAMINA: NILIKUWA NA WASIWASI NA TSHISHIMBI

Image may contain: 1 personKocha Mkuu Yanga SC, George Lwandamina amesema, kabla ya kufika kwa kiungo kutoka Mbabane Swallows ya Swaziland, Papy Kabamba T’shishimbi alikuwa na hofu kwa sababu hakuwa na mtu sahihi wa kucheza nafasi ya kiungo mkabaji.

“Ukweli nilikuwa na hofu sana kabla ya T’shishimbi kuja lakini baada ya kumuona kambini jana, nimepata tumaini jipya nikiwa na uhakika wa kukutana na timu yoyote bila kuihofia,”amesema Lwandamina.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive