Sunday 27 August 2017

KIRIHE: NAIFUNGA YANGA KILA MECHI NITAKAYOKUTANA NAYO

Mfungaji wa goli la Lipuli FC Seif Abdallah Kirihe amesema sio mara ya kwanza anaifunga Yanga kwa sababu tayari ameshawahi kuifunga Yanga kila mechi aliyokutana nayo kabla hajaiunga na Lipuli FC.
“Sio mara yangu ya kwanza kuifunga Yanga, nina historia kubwa sana ya kuifunga Yanga kila mechi nitakayokutana nayo, kwa maana hiyo wana Lipuli kwa ujumla watulie waamini mazuri zaidi yanakuja,” Kirihe.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive