Tuesday 15 August 2017

CHID BENZI AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

Rapa Rashid Makwiro m,aarufu kama Chid Benz akipiga shoo hivi karibuni Uwanja wa Uhuru.
RAPA Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz na wenzake saba wamekamatwa na Jeshi la Polisi tangu Jumamosi baada ya kukutwa na dawa za kulevya maeneo ya Kariakoo jijini Dar, ikiwa ni siku chache baada ya kuhusishwa na tuhuma za matumizi ya madawa hayo.
Jeshi la Polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba msanii huyo na wenzake wanaendelea kushikiliwa katika kituo cha polisi Msimbazi kwa mahojiano na upelelezi wa kina zaidi.
Soma habari Kamili Kesho katika Gazeti la Risasi Mchanganyiko.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive