Friday 28 July 2017

TIKETI ZA PAMBANO LA MAYWEATHER NA McGREGORY ZAUZWA KWA $150000

Mayweather na McGregor wakitambiana
Tiketi za kushuhudia mpambano wa masumbwi kati ya Floyd Mayweather dhidi ya Conor McGregor zinauzwa kwa dola 150,000.
Mpambano huo unatajwa kuwa wa gharama zaidi kuwahi kutokea na tiketi kwa sasa zinauzwa kama njugu.
Unatarajiwa kupigwa Agosti 26 katika uwanja wa T-Mobile mjini Las Vegas utakaoingiza watu elfu 20.
Mayweather mwenye miaka 40 awali alistaafu lakini amerejea kupambana na McGregor.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive