Monday 10 July 2017

MDEE AFIKISHWA MAHAKAMANI


Halima Mdee
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu leo asubuhi ili kusomewa mashtaka ya kesi yake inayomkabili.
Mdee, alikamatwa na Polisi siku sita zilizopita kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi kwa madai ya kumkashifu Rais John Magufuli.
Hapi aliagiza Mdee akamatwe na kuwekwa ndani kwa saa 48 kwa makosa hayo pamoja na ya uchochezi.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive