Friday 7 July 2017

BRADLEY AFARIKI DUNIA



Sahihi kusema Mwenyezi Mungu ni mkubwa na kila nafsi itaonja mauti.

Habari si njema katika familia ya soka ya England na duniani kote, nayo ni kifo cha mtoto Bradley Lowery.

Bradley shabiki namba moja wa Sunderland na rafiki namba moja wa mshambulizi mkongwe wa Sunderland na England, Jermain Defoe.

Mtoto huyo aliyekuwa amefikisha miaka sita alianza kupambana na ugonjwa wa kansa tokea mwaka 2013 na alikuwa maarufu baada ya urafiki wake kusikika kila sehemu. 


Mwenyezi Mungu amrehemu.
Share:

1 comment:

  1. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amina.

    ReplyDelete

Ads

Blog Archive