Friday 30 June 2017

PICHA 23: MASTAA WALIYOSHUHUDIA MESS AKIFUNGA NDOA

Usiku wa Ijumaa ya June 30 staa wa soka wa kimataifa wa Argentina anayeichezea FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi alifunga ndoa na mpenzi wake wa toka utotoni Antonella Roccuzzo ambaye pia wamezaa nae watoto wawili wa kiume.

Staa wa zamani wa FC Barcelona Samuel Eto’o na mkewe
Messi na Antonella Roccuzzo walifahamiana toka Lionel Messi akiwa na umri wa miaka mitano na Antonella Roccuzzo ambaye ni mke wake kwa sasa akiwa na umri wa miaka 4, wameamua kufunga ndoa kwao Argentina ndoa ambayo ilihudhuriwa na wachezaji wenzake na marafiki zake mbalimbali.

Mastaa wa soka ambao Messi alicheza nao Barcelona kutoka kushoto Xavi na mkewe, Fabregas na mpenzi wake na Puyol na mkewe
Zaidi ya marafiki wa Lionel Messi wanaofikia 250 walisafiri kwa ndege binafsi kuelekea Argentina kuhudhuria harusi ya staa huyo ambayo simu za mkononi zilikuwa zimefungiwa kufanya kazi ndani ya ukumbi sherehe ilipo kwa lengo la kuweka privacy pamoja na ulinzi wa askari zaidi ya 450.

Cesc Fabregas wa Chelsea na mpenzi wake

Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo waliyefunga ndoa

Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo waliyefunga ndoa

Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo

Alba wa FC Barcelona na mpenzi wake

Staa mwenzake wa FC Barcelona Luis Suarez na mkewe Sofia

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo

Lionel Messi na Antonella Roccuzzo

Staa wa Man City na timu ya taifa ya Argentina Sergio Aguero akiwa na mpenzi wake

Staa wa Cameroon aliyewahi kucheza na Lionel Messi FC Barcelona Samuel Eto’o akiwa na mke wake
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive