Friday 20 January 2017

FID Q AFUNGUKA BAADA YA NEY WA MITEGO KUKANA KUFANANANISHWA NAE


Ni kazi yangu kukusogezea habari zote kubwa kutokea kwenye area zote za Tanzania na nje ya Tanzania na kwa sasa nakusogezea hii ya bongofleva ambapo kupitia Interview ya show ya Planet Bongo msanii wa bongofleva Nay wa Mitego alihojiwa na kusema yafuatayo.
"Huwa nakasirika sana nikiona mtu anamfananisha Fid Q na Rappers wengine wepesi kama mimi, sipendi kabisaaa"
Baada ya Fid Q kufikiwa na hiyo taarifa alichukua time yake na kusema yafuatayo "Wewe sio mwepesi kaka @naytrueboy – so yawezekana kabisa na wao wakawa na vigezo flani special vinavyowapelekea wadau kunilinganisha au hata kunipima nao.. yote na yote.. ubarikiwe sana na asante sana kwa #LoveYaHelaYote"
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive