Kikosi cha Simba kimeendelea na mazoezi ya
kufa mtu kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo Jumatano kwa
ajili ya maandalizi ya mechi yao ya Jumapili na Mwadui FC.
Kocha wa
Simba, Joseph Omog ameonekana kumwandaa Jonas Mkude kwa ajili ya kuanza
kikosi cha kwanza ili kuhakikisha kikosi hicho kinaondoka na pointi
tatu.
Simba inapambana kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi yao ya wikiendi iliyopita baada ya kutoka suluhu ya 0-0 na Azam FC.
Simba inapambana kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi yao ya wikiendi iliyopita baada ya kutoka suluhu ya 0-0 na Azam FC.
0 comments:
Post a Comment