Monday 7 August 2017

SIFA 10 ZILIZOTAJWA NA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU




Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetangaza mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 na imeanza kupokea maombi ya mikopo kuanzia tarehe 6 Agosti 2017 hadi tarehe 4 Septemba, 2017.

Waombaji wote wa mikopo watarajiwa wanasisitizwa kusoma mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 pamoja na taratibu nyingine za uombaji mkopo kabla ya kujaza fomu za maombi ya mkopo zinazopatikana kwenye mtandao wa https://olas.heslb.go.tz

Kusoma mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 bofya hapa

Kusoma hatua za kufuata kufanya maombi ya mkopo na malipo bofya hapa

Hapo chini ni sifa za msingi za mwombaji wa mkopo;


Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive