Alvaro Morata akiwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow na mkewe, Alice
Campello tayari kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 70.6 Chelsea
ya England kutoka Real Madrid ya Hispania.
Chelsea wanafanikiwa kumnyaka Morata ikiwa nae alikuwa ni miongoni mwa windo la Manchester United msimu huu.
Chelsea wanafanikiwa kumnyaka Morata ikiwa nae alikuwa ni miongoni mwa windo la Manchester United msimu huu.
0 comments:
Post a Comment