Monday 16 January 2017

PICHA 7: DARAJA LA WAVUKA KWA MIGUU LENYE MUVUTO ZAIDI DUNIANI LILILOJENGWA CHINA


Ni kazi yangu kuhakikisha kila siku nakusogezea picha za maeneo ambayo huenda haujafika na unatamani kutembelea siku ukipata nafasi, leo nimezipata hizi picha 7 za daraja lililoko katikati ya mji wa Changsha Meixi linalopita juu ya mto Meixi. Daraja hili lina urefu wa mita 185 na upana wa mita 24.
Daraja hili linawapa nafasi wapita njia kuona mji kwa uzuri zaidi kutokea hapo. Unaweza kuzitazama picha zote hapa chini.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive