
Imeelezwa kuwa mashirika matatu ya kimataifa ya ndege ambayo ni Emirates, Qatar na Etihad yametajwa kuwa wanunuzi wakubwa wa ndege hizo, aidha Shirika la ndege la Singapore na Lufthansa yametajwa pia kutumia ndege hizo kubwa.
Leo January 14 2017 nimekutana na hii Top 10 ya ndege ambazo ni kubwa zaidi duniani, unaweza kuitazama hapa chini.
10. Airbus A340-500

9. Qatar Airways Airbus A350-900

8. Boeing 777-300

7. Antonov An-124

6. Airbus A340-600

5. Qantas Air, Boeing 747-400

4. Boeing 747-8i

3. Airbus A380-800 (Emirates Superjumbo Jet)

2. Antonov An-225 Mriya

1. Airlander 10

0 comments:
Post a Comment