Sunday 15 January 2017

LOWASSA- KAMA RAIS ATATOA CHAKULA, CHADEMA TUTATOA CHAKULA KWA WENYE NJAA


Mjumbe wa kamati kuu Chadema, Mhe Edward Lowassa akiwa na mbunge wa Bukoba mjini wameudhuria ibada katika kanisa la KKKT. Akiwa kanisani Mhe Lowassa ametoa kauli.


''Mh rais amesema hatatoa chakula. Mimi nimewasiliana na chama changu tumeona tuwape chakula watanzania. Naamini dunia itasikia'', alisema Lowassa.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive