Saturday 7 January 2017

HIZI NDIO NCHI ZENYE MAJESHI YENYE NIDHAMU ZAIDI DUNIANI A.MASHARIKI IKO MOJA TU


Kutokana na majeshi mengi ya nchi mbalimbali duniani kushindana ili kuwa bora zaidi ya lingine, majeshi mengi yanawekeza zaidi kwenye silaha na wanajeshi wenye elimu ili kuwa bora zaidi pamoja na hayo nidhamu kwenye jeshi ni kitu ambacho kinatajwa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa zaidi.
Leo January 07 2017 nimekutana na hii video ambayo imetaja majeshi kutoka nchi 10 yenye nidhamu zaidi duniani huku Jeshi la Kenya likiwa kwenye list. Nchi zilizotajwa ni hizi.
Jeshi la China 
Jeshi la Urusi
Jeshi la India
Jeshi la korea Kaskazini
Jeshi la korea Kusini
Jeshi la Ufaransa 
Jeshi la Marekani
Jeshi la Pakistan
Jeshi la Japan
Jeshi la Kenya
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive