Saturday 7 January 2017

HIZI HAPA PICHA JINSI JENGO LA CLUB BILCANAS LILIVYOANZA KUBOMOLEWA


Jengo la iliyokuwa klabu Bilicanas na ofisi za Free Media inayomiliki gazeti la Tanzania Daima zinazomilikiwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘CHADEMA’, Freeman Mbowe limeanza kubomolewa.
Ubomoaji huo ulioanza jana January 6 2016 na unafanyika wakati Mbowe ameingia katika mgogoro na NHC baada ya kampuni ya udalali ya Poster and General Traders kumtolea vyombo nje mwanzoni mwa September, mwaka jana kwa kudaiwa Sh bilioni 1.2 ambayo ni deni la pango. Nimekuwekea picha 11 za jengo hilo lilivyoanza kubomolewa.

Source:- Miladayo
0f8a9250 0f8a9252 0f8a9259 0f8a9252
DCIM101MEDIADJI_0003.JPG
DCIM101MEDIADJI_0006.JPG
DCIM101MEDIADJI_0007.JPG
DCIM101MEDIADJI_0012.JPG
DCIM101MEDIADJI_0013.JPG
DCIM101MEDIADJI_0017.JPG
DCIM101MEDIADJI_0019.JPG
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive