Saturday 7 January 2017

HII HAPA NCHI NYINGINE NJE YA AFRIKA AMBAYO ALIKIBA ATAFANYA TOUR 2017



Ni siku moja tangu staa wa bongofleva Alikiba kutangaza kuhusu kufanya tour ya muziki nje ya Tanzania na alitangaza kuanza na nchi ya Afrika Kusini, lakini leo Jan 7, kupitia ukurasa wake wa Instagram ametangaza kufanya tour hiyo  nchini Marekani pia na ataanza na Las Vegas, kisha Austin & Houston Texas, Minneapolis Minnesota na Washington DC kuanzia March mpaka April 2017.alikiba5

Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive