Thursday 5 January 2017

HII HAPA BARUA YA JERRY MURO ALIOIPELEKA TFF


Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Dar es Salaam Young Africans, leo January 5 2017 ameandika barua kwenda kwa shirikisho la soka Tanzania TFF kuomba kupunguziwa adhabu yake aliyofungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka.
Jerry Muro alifungiwa na kamati ya maadili July 7 2016 kwa makosa mawili, moja alilifanya mwaka 2015 la kukaidi kulipa faini ya Tsh milioni 5 iliyoamuliwa kulipa na kamati ya nidhamu baada ya kufanya makosa na ndio kosa ambalo limemfanya afungiwe mwaka mmoja kujihusisha na soka na faini ya Tsh Milioni 3.
screen-shot-2017-01-05-at-5-16-13-pm
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive