Saturday 31 December 2016

TAZAMA HAWA WANAWAKE WALIOFUNGA NDOA KAMA MUME NA MKE NCHINI..(PICHA+)



Tunajua kwa tamaduni zetu hapa Afrika si rahisi watu wajinsia moja kufunga ndoa tena hasahasa wanawake kwani tunaamini dini zetu haziruhusu.
Lakini hivi karibuni kuna picha zimeendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii zikidaiwa kuwa wanawake hawa wamefunga ndoa nchini Afrika ya kusini na kuamua kuishi kama mume na mke bila kujali usawa wao wa kijinsia.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive