
Nyimbo ya Wale “LoveHate Thing”, Janelle MonĂ¡e “Tightrope”,Jidenna “Classic Man” ,Jay Z na Pharrell “So Ambitious”,Common “Forever Begins ”Aloe Blacc “The Man ” ,Nas na Damian “Jr. Gong”, Marley “As We Enter,”na Prince “U Got the Look.”
Akiwa kwenye mapumziko Obama anasikiliza nyimbo za wasanii kama D’Angelo “Lady,” Mary J. Blige/Method Man “I’ll Be There for You/You’re All I Need,” , Chance the Rapper “Acid Rain.” Janet Jackson, Miles Davis, na Anthony Hamilton.
Rais hutoa nyimbo anazosikiliza zaidi kila mwanzo na mwisho wa mwaka.
0 comments:
Post a Comment