Baada ya kutoka kwa album ya Beyonce
‘LEMONADE’ ambayo kwa sasa ipo kwenye mtandao wa TIDAL na usiku wa April
26 2016 itakuwa Itunes, haya ndio majina ya wasanii walioshirikishwa
kwenye album hii.
Rapa Kendrick Lamar
Mwimbaji The Weeknd
James Blake
Jack White
0 comments:
Post a Comment