Monday, 25 April 2016

Wasanii wanne pekee walioshirikishwa kwenye album ya Beyonce ‘LEMONADE’.



Baada ya kutoka kwa album ya Beyonce ‘LEMONADE’ ambayo kwa sasa ipo kwenye mtandao wa TIDAL na usiku wa April 26 2016 itakuwa Itunes, haya ndio majina ya wasanii walioshirikishwa kwenye album hii.
Rapa Kendrick Lamar
KendrickLamar
Mwimbaji The Weeknd
The-Weeknd1
James Blake
James-Blake-770-2
Jack White
Album ina nyimbo 12, itasambazwa na TIDAL ambayo imesambaza album ya Rihanna ya ANTI na The Life of Pablo iliyosikilizwa na watu milioni 250 ndani ya siku 10.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive