Monday, 25 April 2016

Imeshangaza Wengi baada ya hili jina kutajwa kuhusika kwenye walioandika album mpya ya Beyonce.



Hii imekuja kama Suprise kwenye album mpya ya Beyonce ‘LEMONADE’ ambayo imetoka kama filamu mnamo April 23 bila kutangazwa, kwa jina hili kuwepo miongoni mwa wasanii waliohusika kuandika album hii.
Album ya LEMONADE ina nyimbo 12 na msanii The-Dream ametajwa kuhusika kwenye kuandika wimbo wa “6 Inch,” Ft The Weeknd.
Jina lililoshtua wengi ni jina la SOULJA BOY aka Deandre Way  amabaye yeye katajwa kuandika wimbo “Hold  Up” uliotayarishwa na Diplo na kuwekewa baadhi ya ladha za wimbo wa Soulja Boy “Turn My Swag On.”
Wasanii wengine waliohusika ni pamoja na Andre 3000, Big Boi ,Just Blaze,Kendrick Lamar.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive