Friday 6 January 2017

MBOWE AKOSOA HOTUBA YA RAIS KAGERA


Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani (CHADEMA), ameikosoa hotuba aloitoa Rais Magufuli Mkoani Kagera kwa kusema " Hivi mtu ambae amefiwa, nyumba imebomelewa, hana chakula, hana pesa unakwenda kutoa kauli za kibabe kwamba hutowapa chakula kwakuwa serikali haina shamba! hivyo sio sawasawa"
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive