Friday 6 January 2017

HII NDIO NCHI AMBAYO ALIKIBA ATAANZA NAYO TOURE ZA NJE MWAKA 2017


Muimbaji staa wa bongofleva Alikiba leo January 06 2017 ametumia ukurasa wake wa instagram kueleza mpango wake wa kuanza tour ya muziki nje ya nchi. Alikiba amesema kwa mwaka 2017 ataanza na Afrika kusini.
Post hiyo pia ilisindikizwa na maneno yaliyoashiria kuwa Alikiba ana mpango wa kufanya Tour kwenye mataifa mengi nje ya Afrika kwa mwaka 2017, kwa hiyo tutarejea atataja nchi nyingine ambazo atafanya tour hivi karibuni.
alikiba-4

Manager wa Alikiba pia, Seven Mosha alipost kuhusu tour  hiyo kwenye ukurasa wake wa Instagram
seven-mosha

Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive