nimeenda dukani nikamkuta muuza duka ametinga jezi yake ya yanga basi nikamwambia anipimie mchele mzuri wa Mbeya, ametoka nje na amefunga duka sijui ameenda kuleta mizani?
Thursday, 3 November 2016
KITUKO CHA LEO
nimeenda dukani nikamkuta muuza duka ametinga jezi yake ya yanga basi nikamwambia anipimie mchele mzuri wa Mbeya, ametoka nje na amefunga duka sijui ameenda kuleta mizani?
0 comments:
Post a Comment