Tuesday, 1 November 2016

BARCELONA NA REAL MADRID NI MOTO



DENIS MASSAWE

Wakati tunaenda kuifuata El-Clasico mwezi ujao lakini ufahamu kuwa mwaka uliopita watu hawa waligawana alama mara baada ya Barcelona kuifunga mabao 4-0 pale Santiago Bernabeu ambapo ndio ulikuwa mchezo wa awali kabisa wa mchuano huo mkali,lakini walipo rudi kule Camp Nou Barcelona wakakubali kichapo cha mabao 2-1.real-madrid-vs-barcelona-1426960797

Wafungaji wa mchezo wa kwanza wakiwa Neymar, Suarez pamoja na Iniesta kwa shuti kali kabisa, sasa hivi chama cha soka La Liga kimetangaza kuwa mchezo huo utapigwa Desemba 3 majira ya saa 12:15 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na kati.

 KIVUTIO

Nawaza muunganiko na mpambano wa Pepe na Suarez huku Neymar akipigana na ndugu yake Marcelo na BBC ikigombania magoli na Mascherano, huku Modric akipepetana katikati na Busqueti utaonaje hapo mchezo utakavyokuwa .

Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive