Rais wa Tanzania John Magufuli ameanza ziara yake ya kikazi katika nchi
jirani ya Kenya leo ambapo amefanya mazungumzo na Rais Kenyatta
azima kubwa ikiwa ni uzinduzi wa barabara.
Kwenye ziara hiyo ya siku mbili, Rais Magufuli anatarajiwa kufanya
mazungumzo na mwenyeji wake ikiwa ni pamoja na kuzindua barabara
mchepuko ya Southern By-pass iliyopo Jijini Nairobi.
Barabara hiyo, ambayo inaunganisha maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi kwa barabara za juu na chini, ni moja kati ya miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara ambayo imekuwa ikitekelezwa na serikali ya Kenya kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo kuu.
Rais Magufuli akiwa nchini Kenya amewakaribisha Wakenya wote wanaotaka kufanya biashara na kuwekeza Tanzania, waje hata leo.
Barabara hiyo, ambayo inaunganisha maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi kwa barabara za juu na chini, ni moja kati ya miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara ambayo imekuwa ikitekelezwa na serikali ya Kenya kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo kuu.
Rais Magufuli akiwa nchini Kenya amewakaribisha Wakenya wote wanaotaka kufanya biashara na kuwekeza Tanzania, waje hata leo.
0 comments:
Post a Comment