
Promota Siraji Kaike amesimulia tukio la Bondia Thomas Mashali kuuawa kwa kupigwa baada ya kuitwa ni mwizi, Kaike amesema
>>>’Alitoka
kwenye kikao akaenda kimara kwa rafiki yake alipofika kule jamaa
wakamshawishi akanywa bia kidogo baadaye wakahamia sijui baa gani’sasa wakagombana na jamaa, na anakuwa mtemi akilewa, jamaa wakamuitia mwizi wakampiga mapanga’
>>>’baadaye
wanagundua sio mwizi tayari washampasua alama kubwa sana na tayari
alikuwa ameshapungukiwa na damu nyingi sana wakawa wamemtupa baada ya
hapo bodaboda walikuwa wanamjua Thomas wakamuokota na kumpeleka
hospitali, mdogo wake alienda muhimbili akapewa taarifa kuwa amefariki’
0 comments:
Post a Comment