Saturday, 3 September 2016

WENYEVITI CUF WATAKA WASALITI KUWAJIBISHWA


WENYEVITI wa wilaya za Unguja wa Chama Cha Wananchi wameitaka CUF kuwawajibisha wanachama ambao wanataka kukivuruga chama hicho.

Wakizungumza na waandishi wa habari visiwani hapa jana, wenyeviti hao walisema licha ya Baraza Kuu la CUF kuwawajibisha baadhi ya viongozi, lakini baadhi ya wanachama wanataka kukivuruga chama hicho.

“Hii ni taasisi hivyo hatuwezi kusema kuwa waliomo ndani ya CUF wote ni wasafi,” alisema Mashavu Bakari Juma ambaye ni mwenyekiti wa Wilaya ya Mjini wa chama hicho.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive