Sunday, 28 August 2016

WACHEZAJI 8 NA WANAMUZIKI WANAOWASHABIKIA


Muziki unanafasi kubwa sana kwenye maisha ya watu wengi, wacheza soka hawajaachwa nyuma katika hili. Mara nyingi wameonekana wakiwa wamevaa headphones wakiwa wanawasili viwanjani.
Hebu tuangalie ni aina gani ya muziki baadhi yao hupenda kusikiliza:
  1. David Beckham
Beckham
Anapenda muziki wa pop. Hiyo inamaanisha ni shabiki wa ustin Bieber, Selena Gomez pamoja na The Jonas Brothers.
2. Lionel Messi
Messi
“La Pulga” anapenda muziki unaoitwa cumbia, style hii ya muziki asili yake ni Colombia, na ni maarufu sana kwenye maeneo ya latin America.
3. Mario Gotze
Gotze
Anapenda muziki unaoimbwa na wasanii kama Justin Bieber, Snoop Dog, Lil’ Wayne na The Black Eyed Peas.
4. Andres Iniesta
Iniesta
Ni shabiki wa Spanish band ‘Estopa’
5. Cristiano Ronaldo
Ronaldo
Favourite music & musicians: Phil Collins, George Michael, Elton and Alicia Keys
Muziki na wanamuziki anaowapenda ni: Phil Collins, George Michael, Elton na Alicia Keys.
6. Neymar Jr.
Neymar
Ni shabiki wa muziki wa Michel Telo
7. Wayne Rooney
Rooney
Anapenda kusikiliza muziki wa wasanii kama Arctic Monkeys, Bruce Springsteen, Cat Stevens na wengine.
8. Zlatan Ibrahimovic
Zlatan
Anapenda kusikiliza muziki wa Reggae, rock na hip-hop. Ni shabiki mkubwa wa Alpha Blondy.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive