Tuesday, 9 August 2016

Picha za Paul Pogba alivyowasili jijini Manchester

Kiungo wa Ufaransa aliyekuwa akichezea klabu ya Juventus ya Italia Paul Pogba August 8 2016 aliwasili katika klabu ya Manchester United kwa ajili ya kukamilisha usajili wake utakaovunja rekodi ya mchezaji wa Real Madrid Galeth  Bale mchezaji aliyesajiliwa kwa dau kubwa na kuweka rekodi ya Dunia.
36FFE48300000578-3729304-image-a-62_1470656183575
Pogba akielekea katika uwanja maarufu jijini manchester AON ambao Timu ya Manchester United utumia kwa ajili ya mazoezi akiwa ndani ya  gari nyekundu aina ya Chevrolet Camaro(iliopo mbele mstari wa katikati) kwenda kufanya vipimo vya afya ili aweze kukamilisha usajili wakeya kufanya vipimo vya afya na kukamilisha usajili wake.
36FFCD2900000578-3729304-Pogba_was_driven_to_United_s_training_complex_before_early_on_Mo-a-49_1470655935959
Kiungo huyo ambaye aliondoka Manchester  United mwaka 2012 kwa ofa ya pound 800,00 anatajwa kuwa atasaini mkatab wa miaka mitano wa kuitumikia Manchester United kwa ada ya usajili ya rekodi ya dunia ya pound milioni 110, mkataba na Manchester United utamuwezesha kuingiza mshahara wa pound 290,000 kwa wiki.


36FFE47400000578-3729304-image-a-52_1470656080159
Paul Pogba akiwa safarini kuelekea katika jiji la  Manchester  
3702EC6D00000578-3729304-image-a-2_1470678523648
37000DBE00000578-3729304-image-a-85_1470658464904
Yeo Moriba mama mzazi wa Paul Pogba alivyowasili katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive