Friday, 19 August 2016

NICKI MINAJ NA MEEK MILL WAWAZIBA WATU MIDOMO

By Ally Yusuph

Rapa Meek Mill na mpenzi wake Nicki Minaj wamezima uvumi kuwa wametengana kwa kutangaza rasmi kuhamia kwenye nyumba moja huko Beverly Hills.
Kwa mujibu wa TMZ,nyumba hii kwenye mitaa ya matajiri itawagharimu dola $30,000 kwa mwezi, Mpaka sasa nimepata taarifa kuwa nyumba hio ina vyumba 9 ,mabafu 8 ,sehemu ya kuegesha amagari matano.
Meek Mill na Nicki Minaj walikuwa na mpango wa kuhamia pamoja mjini Los Angeles kabla Meek hajafungwa kifungo cha ndani.
Meek anaelekea kutoa mixtape yake ya DC4
0817-sub-meek-mill-instagram-4
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive