Monday, 25 April 2016

Picha,Inasemekana huyu ndio mwanamke aliyetajwa na Beyonce kuchepuka na Jay Z.



Album mpya ya Beyonce ‘LEMONADE’ imetoka na kukamata vichwa vya habari huku ikizungumzia mume wake Jay Z kuchepuka na mwanamke maarufu nchini Marekani.
Mwanamke huyu ametajwa kwenye wimbo wa “Sorry,” Beyonce aliposema “He only want me when I’m not there/ He better call Becky with the good hair.”.
 rachel-roy
Becky huyu ni Rachel Roy, ambaye aliwahi kuwa mke wa Dame Dash [Rafiki mkubwa wa zamani wa Jay Z,walianzisha lebel ya Roc A Fella pamoja].
Rachel Roy alijibu kwa kuandika maneno haya Twitter “I respect love, marriages, families and strength, What shouldn’t be tolerated by anyone, no matter what, is bullying, of any kind.” akimaanisha [Naheshimu sana mapenzi, ndoa, familia na nguvu,tusikubali mtu yoyote atuonee].
Kabla ya twit hio aliweka insta post akitania mstari wa Beyonce wa Nywele kwa kuandika
“Good hair, don’t care, but we will take good lighting, for selfies, or self truths, always,”

Roy ametajwa kuwa sababu ya Solange Knowles kumpiga Jay Z kwenye lift mwaka 2014.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Ads

Blog Archive