1. ASKOFU
DAVID OYEDEPO – NIGERIA
($150 Million)
Askofu David Oyedepo anamiliki
utajiri unaofikia dola million 150 ambayo ni zaidi ya Bilioni 300 za
kitanzania na ndio mwazilishi ya huduma ya
Living Faith World Outreach iliopo Sango Otta, Ogun State,
nchini Nigeria.
Askofu Oyedepo ni mtumishi wa
mungu mwenye mafanikio makubwa sana miongoni mwa vitega uchumi anavyomiliki ni meli mbili za abiria ,nyumba zilizopo Marekani na Uingereza, shule za chekechea na msingi zilipo maeneo
mbalimbali ulimwenguni zenye jina la Kingdom Heritage
Schools and Faith Academy respectively, makampuni ya uchapishaji na mali nyingine
nyingi.
Oyedepo pia ni mhadhini wa vyuo vikuu viwili cha Covenant na Landmark.
2. CHRIS OYAKHILOME - NIGERIA ($50 Million)
Pastor Oyakhilome anamiliki
utajiri unafikia dola milioni 50 ambayo ni
zaidi ya Bilioni 100 za kitanzania.
Oyakhilome ndiye mwazilishi wa
huduma ya Christ Embassy yenye matawi Nigeria,
South Africa, England, Canada na Marekani kwa mujibu wa jarida la Forbers.
3. BENNY
HINN – MAREKANI
($42 Million)
Benny Hinny anamiliki dola
milioni 42 ambayo ni zaidi ya Bilioni 91 za kitanzania.
Hinny ni muhubiri maarufu sana, uhandaa mikutano mikubwa katika
miji mbalimbali Duniani ijulikanayo kama
“Miracle Crusades”.
4. CREFLO
DOLLAR – MAREKANI ($27 Million)
Creflo Augustus Dollar anamiliki
dola milioni 27 ambayo ni zaidi ya
Bilioni 58 za kitanzania.
Dollar ni Mwazilishi wa huduma ya non denominational world changers church, iliopo Georgia, Marekani na huduma ya Creflo Dollar Ministerial Association.
5. BILLY
GRAHAM – MAREKANI
($25 Million)
Bill Graham anamiliki utajiri
upatao dola million 25 ambayo ni zaidi Bilion 54 za kitanzania.
6. T.D
JAKES – MAREKANI
($18 MILION)
Thomas Dexter maarufu T.D Jakes
anamiliki utajiri uanaokisiwa kuwa ni dola million 18 ambayo ni zaidi ya
billion 39 za kitanzania.
T.D Jakes ni mchungaji wa kanisa
la The Potters House lenye washirika 30,000
lililopo Dallas, Marekani.
7. T.B.
JOSHUA – NIGERIA
($15 MILION)
Temitope Balogun Joshua, maarufu T.B. Joshua anamiliki utajiri unakisiwa kuwa ni dola
milioni 15 ambazo ni zaidi ya bilioni 32 za kitanzania.
Nabii T.B. Joshua ndie muchungaji alieshika
nafasi ya tatu ya wachungaji matajiri Nigeria kwa
mujibu ya jarida la Forbes.
8. MATHEW
ASHIMOLOW – NIGERIA
($10 MILION)
Mathew Ashimolow ni mchungaji
kiongozi wa kanisa la Kingsway International christian
Centre lililopo London.
Ashimolow anamiliki utajiri
unaofikia dola milioni 10 ambazo ni zaidi ya bilioni 21 za kitanzania.
Ashimolow anamiliki vitega uchumi
mbalimbali ikiwemo vituo vya radio na runinga.
9. CHRIS
OKOTIE – NIGERIA
($10 MILION) Okotie uatajiri wake ni dola milioni 10 ambazo ni zaidi ya bilioni
21 za kitanzania.
Okotie alipata mafanikio makubwa
miaka ya 1980 alipokuwa mwanamuziki wa pop.
10. JOSEPH
PRINCE – SINGAPORE ($5 MILION)
Prince anautajiri unaofikia dola milioni 5 ambazo nizaidi ya bilioni 10 za
kitanzania.
Prince ni mwazilishi na ni
mchungaji kiongozi wa kanisa la New Creation
lililopo Singapore, na ni moja kati ya makanisa
makubwa sana huko Asia.
0 comments:
Post a Comment