Karrueche Tran atakuwa ni mtu mwenye furaha nyingi kwa sasa baada ya
kupata kazi kubwa itakayo mpatia umaarufu zaidi ukiacha kuitwa Ex wa
Chris Brown tu.
Karrueche Tran anaelekea kutangazwa kuwa jaji mpya kwenye show kubwa ya kutafuta vipaji vywa wanamitindo cha America’s Next Top Model.
Show hii imekuwa ikifanya mabadiliko makubwa na inategemewa kuwa
mwanamitindo Gigi Hadid au Kendall Jenner watachukua nafasi ya kutangaza
show hii badala ya Tyra Banks
0 comments:
Post a Comment