DJ Khaled amezungumzia kufanya kazi chini ya lebel ya Jay Z ‘Roc
Nation’ nakusema ni sawa na mabosi wawili wa muziki kufanya kazi pamoja.
Khaled anasema “Mimi na JayZ tumekuwa marafiki kwa muda sasa na
tumejenga mahusiano mazuri,nilimpigia simu nika mwambia tutengeneze
historia pamoja basi, tupiga kazi pamoja ‘Jay Z na DJ Khaled ni sawa na
mabosi wawili wa muziki wanafanya kazi pamoja”
Chini ya Roc Nation DJ Khaled anasimamiwa pamoja na wasanii kama Rihanna, Big Sean, Fabolous, na Kanye West.
Pia Khaled amesema anawimbo unakuja kafanya na Kendrick Lamar.
Tuesday, 22 March 2016
Home »
» DJ Khaled aanza kujitamba kufanya kazi na Rapper Maarufu Duniani Jay Z.
0 comments:
Post a Comment